Skip to main content

SOKO ZURI LA UHAKIKA LILILOPO—MTANDAONI.

Kuna mbinu nne ambazo tumeziambatanisha na mambo manne yanayoweza kukusababishia kuwa na eneo lako binafsi na lenye wateja wengi wasio na idadi—kwenye mtandao wa intaneti.

  LA KWANZA.  
WATEJA WAKO WENGI WALIOPO WHATSAPP (5W≈ W^5).

—$—Mbinu na njia nzuri za kufaidi wateja wengi miongoni mwa mamilioni ya watu wanaotumia WhatsApp—Inchini kwako, Barani kwako na Duniani kote.

YALIYOMO:
  1. Sababu zinazoonyesha unaweza kuweka mkakati wa kukuletea uhakika wa wateja wengi—kila siku.
  2. Njia tatu rahisi na za haraka katika kukusanya na kusevu namba nyingi za watumiaji wa Whatsapp.
  3. Namna nzuri [ya kukushangaza] ya kunufaika na namba nyingi za Whatsapp utakazokuwa unazisevu—kwa namna rahisi tuliyoelekeza.
  4. Mlango mwingine unaofunguka; baada ya kukamilisha yaliyo katika vipengele vilivyopita.
  5. Mambo mazuri ya kuanza nayo; kwa wale wasio na biashara ya kuwaletea wateja wa uhakika—kupitia Whatsapp.
Maelekezo yake yote yapo kwa audio, kitabu kidogo cha PDF na maelekezo ya moja kwa moja kwenye makundi yetu ya Whatsapp (mahali unapoweza kuuliza maswali yako) na posti za blogu na shule yetu ya mtandaoni [Emmanuel Online School and Library].

Bei yake ni shilingi elfu mbili mia tano tu (Tsh 5500/-) kwa sasa. —$——0657178911 Emmanuel Kimanisha.

Niulize jambo lolote unalohitaji kuelewa vizuri juu ya mambo haya. Ikiwa unatumia WhatsApp saa hizi, njoo inbox kwangu kwa kufungua au KUGUSA HAPA (Click).





2.  LA PILI. .
 PICHA ZA GRAPHICS—KUZITENGENEZA MWENYEWE NA KUZIUZA MTANDAONI. 

—★—$—Namna nilivyoanza na ninavyouza Graphics zangu rahisi mtandaoni.

Yaliyomo (vipengele) kwenye maelekezo ya jambo hili ni:
  1. Njia na App rahisi niliyoitumia kutengeneza 'Graphics' nzuri na rahisi— kwa simu janja (smartphone) tu.
  2.  Jinsi nilivyokuwa na blogu rahisi ya bure kwa ajili ya kutangazia Graphics zangu —Blogu niliyoifungua mwenyewe [bila uzoefu] ndani ya dakika 20 tu.
  3. Jinsi unavyoweza kuitumia Whatsapp, kupata wateja wengi wa Graphics zako.
  4. Niliwahudumiaje watu walio mbali, walipohitaji kuwatengenezea Graphics—wakiwa kule waliko?
Maelekezo yake yote yapo kwa audio, kitabu kidogo cha PDF na maelekezo ya moja kwa moja kwenye makundi yetu ya Whatsapp (mahali unapoweza kuuliza maswali yako) na posti za blogu na shule yetu ya mtandaoni [Emmanuel Online School and Library].

Bei yake ni shilingi elfu moja mia tano tu (Tsh 4500/-) kwa sasa. —$——0657178911 Emmanuel Kimanisha.

Niulize jambo lolote unalohitaji kuelewa vizuri juu ya mambo haya. Ikiwa unatumia WhatsApp saa hizi, njoo inbox kwangu kwa kufungua au KUGUSA HAPA (Click).






 3.  LA TATU.  
KUUZA MAANDISHI YAKO MTANDAONI.

CODE: Selling Your Documents (PDF) Online (SYDO 77).

YALIYOMO:
  1. Urahisi uliopo hivi sasa —katika kuuza maandishi/vitabu vyako mtandaoni.
  2. Njia rahisi ya kuandika dokumenti au vitabu vyako kwa haraka—Kwa simujanja (Smartphone) yako tu.
  3. Kwa nini ni vyema pia uuzie mtandaoni?
  4. Blogu nzuri na rahisi ya kuanza nayo—katika kuuza dokumenti au vitabu vyako.
  5. Mbinu nzuri na rahisi ya kuwatambua, kuwafikia na kufaidi wateja wengi wa maandishi/vitabu vyako—mtandaoni.
★—$—The Simplest Way To Start Selling Your Documents (PDF)—Online.
Maelekezo yake yote yapo kwa audio, kitabu kidogo cha PDF na maelekezo ya moja kwa moja kwenye makundi yetu ya Whatsapp (mahali unapoweza kuuliza maswali yako) na posti za blogu na shule yetu ya mtandaoni [Emmanuel Online School and Library].

Bei yake ni shilingi elfu mbili mia tano tu (Tsh 5000/-) kwa sasa. —$——0657178911 Emmanuel Kimanisha.

Niulize jambo lolote unalohitaji kuelewa vizuri juu ya mambo haya. Ikiwa unatumia WhatsApp saa hizi, njoo inbox kwangu kwa kufungua au KUGUSA HAPA (Click).







4.   LA NNE  
MILIKI SHULE YAKO RAHISI YA MTANDAONI.

★—$—Namna rahisi ya kuigeuza blogu yako ya bure na kuanza kuitumia kama SHULE YAKO.

YALIYOMO:
  1. Hatua chache za muhimu katika kufungua blogu ndogo na rahisi—kwa kupitia majukwaa maalumu ya mtandaoni.
  2. Hatua chache za muhimu katika kuifanya blogu yako iwe shule ya mtandaoni.
  3. Namna nzuri ya kushirikisha mafunzo yaliyolipiwa na wanafunzi wako–kwenye blogu yako ya bure.
  4. Unapata wapi wateja au wanafunzi wako?
★—$—The Free Blog As An Online School & Library.
★—$—Using your free blog as an online school.
Maelekezo yake yote yapo kwa audio, kitabu kidogo cha PDF na maelekezo ya moja kwa moja kwenye makundi yetu ya Whatsapp (mahali unapoweza kuuliza maswali yako) na posti za blogu na shule yetu ya mtandaoni [Emmanuel Online School and Library].

Bei yake ni shilingi elfu mbili mia tano tu (Tsh 4000/-) kwa sasa. —$——0657178911 Emmanuel Kimanisha.

Niulize jambo lolote unalohitaji kuelewa vizuri juu ya mambo haya. Ikiwa unatumia WhatsApp saa hizi, njoo inbox kwangu kwa kufungua au KUGUSA HAPA (Click).

Comments

Popular posts from this blog

240 WHATSAPP GROUPS' LINKS (Business and Social)—Tanzania.

Tumekukusanyia [links] viunganishi vya vikundi vya WhatsApp zaidi ya 240, vya kibiashara na mambo ya kijamii, vya nchini Tanzania. Utawafikia watu wengi (zaidi ya 43,200) waliopo WhatsApp , kwa urahisi—ndani ya muda mfupi. Ili wafahamishwe kuhusu uwepo wa huduma au biashara yako. Hapa nitakuonyesha orodha ya vikundi 244 vya WhatsApp , ambavyo links zake zipo kwenye dokumenti ya PDF tuliyoiandaa. Tumetengeneza dokumenti ya PDF, ambayo kila jina la kikundi lina link chini yake; ili uweze ku-join kupitia dokumenti ya PDF. Dokumenti inapatikana kwa  TSH 1,500.  Namba yetu ya malipo ni 0743517138—EMMANUEL KIMANISHA. Vikundi vya WhatsApp vilivyomo ni: 1) MADALALI NA WAPANGAJI 2) TAARIFA MUHIMU ZA JAMII 3) DAR FAST DEALS 4) AGIZA NASI CHINA 03 5) BEI NDOGO IRINGA & DAR ES SALAAM 6) THE CITY OF BUSINESS 7) MAPINDUZI UFUGAJI 8) CHAMPION INVESTMENT 9) TEAM CALVO TRIPLE EARN 10) FINANCIO INVESTMENT 11) CHINA SHARE MOQ 12) MUCE, RUCU & TUMAINI (MRT) 13) MAPISHI 14) MARKETING IRING...

EO Gadgets Images

K NEW AND EDITED T

KALENDA NZURI [2021] YENYE PICHA ZAKO.

Ofa nzuri ya muda mfupi; n dani ya siku chache. Baada ya kuona watu wengi wanahitaji kalenda lakini wapo mbali, nimeamua kutoa ofa ya muda mfupi; uweze kupata 'softcopy' (PDF & Picha original ya jpg) ya kalenda yako  ya mwaka 2021 [yenye picha zako] kwa Tsh 2,000 badala ya Tsh 4,500. Tuma tu picha zako hata sasa, unazotaka ziwepo kwenye kalenda; ndani ya dakika chache kalenda itakuwa tayari na kuipata leo leo —kwa wasapu/e-mail. 🗞️📜📲 Bei hii inakupa nafasi nzuri ya kui-print ukiwa mahali popote wanapo-print picha au dokumenti za rangi (stationery/studio ya picha); ni rahisi sana. Ukifika mahali popote wanapofanya hivyo (printing) (stationery au photo studio) unawapatia namba zetu ili kuweka mambo vizuri zaidi —wakati wa 'printing' ya kalenda yako. Tupo na wewe popote. Tupo hewani sasa hivi kwa Whatsapp na mawasiliano ya kawaida. WhatsApp: +255 743 517 138 /call. Ikiwa unatumia wasapu sasa hivi (online); Ingia HAPA [CLICK HERE] kwa ajili ya ...