Skip to main content

ZAIDI YA TSH 250,000 KWA MWEZI.

Usihangaike! Pesa Halisi Ya Mtandaoni [Kwa Watumiaji Wa WhatsApp] Inapatikana Kwa Kuwahudumia Wateja Wengi Waliopo WhatsApp.

Vitabu vitatu ndani ya kitabu kimoja [Fomati: PDF].

Unapotengeneza pesa kwa kugusa mahitaji ya watu wengi, unaoweza kuwafikia ukiwa mahali ulipo, ni hakika kuwa pesa yako ni halisi. 

Tunapokuwa kwenye muingiliano mkubwa wa watu, tuna nafasi kubwa nzuri ya kuwa na vitu tofauti tofauti vya kufanya, kwa ajili ya watu hao, na tukatengeneza pesa nzuri.

Kuna huduma na biashara ambazo hazihitaji ulazima wa kukutana ana kwa ana, kati ya mteja na mtoa huduma au muuzaji; yaaani kuna bidhaa pia ambazo wateja huzipokea katika fomati za kielektroniki (softcopy), na kuzitumia kule waliko. 
Kwa mfano, bidhaa kama audio, video, picha za matangazo au graphics, vitabu [katika fomati za PDF] na software nyingine; ni bidhaa ambazo unaweza kuzitengeneza na kuwauzia watu mtandaoni, bila kukutana nao ana kwa ana.

Huduma na biashara zinazohusisha bidhaa (products) za aina hiyo, ndizo zilizozungumziwa kwenye vitabu vyetu vitatu.

Ofisi yako ni simujanja (smartphone) yako. Mtaa na soko lako ni watu wengi wasio na kikomo, waliopo WhatsApp.

Vitabu vitatu vilivyopo ndani ya kitabu hiki ni:
1. Kipato Kwa Smartphone Na WhatsApp.
2. Upatikanaji Wa Wateja Wa Uhakika Kupitia WhatsApp.
3. Ubunifu Wa Graphics Nzuri Kwa Kutumia Smartphone.
--------------------------
Kitabu hiki chenye vitabu vitatu, kinauzwa Tshs 7,000.

Ukihitaji kitabu kimoja kimoja (vilivyotengenishwa) bei zake ni:
(1) TSH 1,500 [Kipato Kwa Smartphone Na WhatsApp].
(2) TSH 2,500 [Upatikanaji Wa Wateja Wa Uhakika Kupitia WhatsApp].
(3) TSH 3,000 [Ubunifu Wa Graphics Nzuri Kwa Kutumia Smartphone].
--------------------------
Mawasiliano:
0743 517 138
0717 517 137

emmanuellibraries@gmail.com
__________________








Comments

Popular posts from this blog

240 WHATSAPP GROUPS' LINKS (Business and Social)—Tanzania.

Tumekukusanyia [links] viunganishi vya vikundi vya WhatsApp zaidi ya 240, vya kibiashara na mambo ya kijamii, vya nchini Tanzania. Utawafikia watu wengi (zaidi ya 43,200) waliopo WhatsApp , kwa urahisi—ndani ya muda mfupi. Ili wafahamishwe kuhusu uwepo wa huduma au biashara yako. Hapa nitakuonyesha orodha ya vikundi 244 vya WhatsApp , ambavyo links zake zipo kwenye dokumenti ya PDF tuliyoiandaa. Tumetengeneza dokumenti ya PDF, ambayo kila jina la kikundi lina link chini yake; ili uweze ku-join kupitia dokumenti ya PDF. Dokumenti inapatikana kwa  TSH 1,500.  Namba yetu ya malipo ni 0743517138—EMMANUEL KIMANISHA. Vikundi vya WhatsApp vilivyomo ni: 1) MADALALI NA WAPANGAJI 2) TAARIFA MUHIMU ZA JAMII 3) DAR FAST DEALS 4) AGIZA NASI CHINA 03 5) BEI NDOGO IRINGA & DAR ES SALAAM 6) THE CITY OF BUSINESS 7) MAPINDUZI UFUGAJI 8) CHAMPION INVESTMENT 9) TEAM CALVO TRIPLE EARN 10) FINANCIO INVESTMENT 11) CHINA SHARE MOQ 12) MUCE, RUCU & TUMAINI (MRT) 13) MAPISHI 14) MARKETING IRING...

EO Gadgets Images

K NEW AND EDITED T

KALENDA NZURI [2021] YENYE PICHA ZAKO.

Ofa nzuri ya muda mfupi; n dani ya siku chache. Baada ya kuona watu wengi wanahitaji kalenda lakini wapo mbali, nimeamua kutoa ofa ya muda mfupi; uweze kupata 'softcopy' (PDF & Picha original ya jpg) ya kalenda yako  ya mwaka 2021 [yenye picha zako] kwa Tsh 2,000 badala ya Tsh 4,500. Tuma tu picha zako hata sasa, unazotaka ziwepo kwenye kalenda; ndani ya dakika chache kalenda itakuwa tayari na kuipata leo leo —kwa wasapu/e-mail. 🗞️📜📲 Bei hii inakupa nafasi nzuri ya kui-print ukiwa mahali popote wanapo-print picha au dokumenti za rangi (stationery/studio ya picha); ni rahisi sana. Ukifika mahali popote wanapofanya hivyo (printing) (stationery au photo studio) unawapatia namba zetu ili kuweka mambo vizuri zaidi —wakati wa 'printing' ya kalenda yako. Tupo na wewe popote. Tupo hewani sasa hivi kwa Whatsapp na mawasiliano ya kawaida. WhatsApp: +255 743 517 138 /call. Ikiwa unatumia wasapu sasa hivi (online); Ingia HAPA [CLICK HERE] kwa ajili ya ...