Skip to main content

🎀 Ofa Maalumu Kwa Waliotupokea Vizuri WhatsApp—Inbox.


Tunatambua rasilimali muhimu sana duniani ni muda; maisha ya mtu yapo vile yalivyo, na yatakuwa vile yatakavyokuwa kulingana na anavyotumia muda wake.

Kwa sababu hiyo, unapotoa dakika zako chache kujibu jumbe zetu WhatsApp, tunatamani kuongeza thamani ya muda huo, kwa kukupatia ofa hii maalumu—upate kitabu chenye maarifa yatakayokupa uwezo wa kuongeza uzalishaji wako mtandaoni.

Leo, utapata:
1. Kitabu (PDF) chochote kwa bei ya punguzo: Tsh 1,500 badala ya Tsh 2,500.
• Picha ya vitabu vilivyopo kwenye ofa hii [View Image].

Pia kuna ofa ya bei punguzo kwa kupata:
2. Kalenda yenye picha zako mbili: Tsh 1,500 badala ya Tsh 2,500.
• Picha ya mfano wa kalenda [View Image].

3. Bango la kumbukumbu, lenye maandishi na picha zako unazotaka ziwepo: Tsh 2,000 badala ya Tsh 5,000.
• Picha ya mfano wa bango [View Image].

Karibu sana rafiki!
0743 517 138.
0717 517 137.
________________________________
MATANGAZO YETU MENGINE:
-----------------------------------------------


-----------------------------------------------
Emmanuel Online Working Library.
+255743517138
emmanuellibraries@gmail.com
Dodoma, Tanzania.
-----------------------------------------------












Comments

Popular posts from this blog

240 WHATSAPP GROUPS' LINKS (Business and Social)—Tanzania.

Tumekukusanyia [links] viunganishi vya vikundi vya WhatsApp zaidi ya 240, vya kibiashara na mambo ya kijamii, vya nchini Tanzania. Utawafikia watu wengi (zaidi ya 43,200) waliopo WhatsApp , kwa urahisi—ndani ya muda mfupi. Ili wafahamishwe kuhusu uwepo wa huduma au biashara yako. Hapa nitakuonyesha orodha ya vikundi 244 vya WhatsApp , ambavyo links zake zipo kwenye dokumenti ya PDF tuliyoiandaa. Tumetengeneza dokumenti ya PDF, ambayo kila jina la kikundi lina link chini yake; ili uweze ku-join kupitia dokumenti ya PDF. Dokumenti inapatikana kwa  TSH 1,500.  Namba yetu ya malipo ni 0743517138—EMMANUEL KIMANISHA. Vikundi vya WhatsApp vilivyomo ni: 1) MADALALI NA WAPANGAJI 2) TAARIFA MUHIMU ZA JAMII 3) DAR FAST DEALS 4) AGIZA NASI CHINA 03 5) BEI NDOGO IRINGA & DAR ES SALAAM 6) THE CITY OF BUSINESS 7) MAPINDUZI UFUGAJI 8) CHAMPION INVESTMENT 9) TEAM CALVO TRIPLE EARN 10) FINANCIO INVESTMENT 11) CHINA SHARE MOQ 12) MUCE, RUCU & TUMAINI (MRT) 13) MAPISHI 14) MARKETING IRING...

EO Gadgets Images

K NEW AND EDITED T

KALENDA NZURI [2021] YENYE PICHA ZAKO.

Ofa nzuri ya muda mfupi; n dani ya siku chache. Baada ya kuona watu wengi wanahitaji kalenda lakini wapo mbali, nimeamua kutoa ofa ya muda mfupi; uweze kupata 'softcopy' (PDF & Picha original ya jpg) ya kalenda yako  ya mwaka 2021 [yenye picha zako] kwa Tsh 2,000 badala ya Tsh 4,500. Tuma tu picha zako hata sasa, unazotaka ziwepo kwenye kalenda; ndani ya dakika chache kalenda itakuwa tayari na kuipata leo leo —kwa wasapu/e-mail. 🗞️📜📲 Bei hii inakupa nafasi nzuri ya kui-print ukiwa mahali popote wanapo-print picha au dokumenti za rangi (stationery/studio ya picha); ni rahisi sana. Ukifika mahali popote wanapofanya hivyo (printing) (stationery au photo studio) unawapatia namba zetu ili kuweka mambo vizuri zaidi —wakati wa 'printing' ya kalenda yako. Tupo na wewe popote. Tupo hewani sasa hivi kwa Whatsapp na mawasiliano ya kawaida. WhatsApp: +255 743 517 138 /call. Ikiwa unatumia wasapu sasa hivi (online); Ingia HAPA [CLICK HERE] kwa ajili ya ...